iqna

IQNA

kukurubisha madhehebu za kiislamu
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Nauryzbai Haji Taganuly, Mufti Mkuu wa Jamhuri ya Kazakhstan, amsema ni wajibu kwa wanazuoni wa Kiislamu kufanya kazi kwa ajili ya kuimarisha umoja katika Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3476570    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/16

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amesema kuwa kufikia umoja wa Kiislamu ni sharti la kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu.
Habari ID: 3476564    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/15

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) imekumbatia wito wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar wa kuanzisha mazungumzo kati ya Waislamu wa madhehebu za Shia na Sunni.
Habari ID: 3476050    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/07

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 36 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu litafanyika mjini Tehran kuanzia tarehe 17 hadi 22 Oktoba kwa kuhudhuriwa na wasomi na wanafikra kutoka sehemu mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3475898    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/08

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amesemakuanzisha umoja wa nchi za Kiislamu ni jambo linalowezekana
Habari ID: 3475301    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, umoja na mshikamano wa Waislamu ndiyo silaha pekee inayoweza kutumiwa kwa ajili ya kupambana na njama zinazofanywa dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474733    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/28

Kwa mnasaba wa Maulidi ya Bwana Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa 34 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika Novemba 11-13 katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran.
Habari ID: 3473178    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/17